Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /21
TEHRAN (IQNA) – Ustadh Taha al-Fashni alikuwa qari maarufu wa Qur'ani Tukufu na msomaji Ibtihal nchinia Misri ambaye alikuwa na wafuasi wengi sio tu miongoni mwa Waislamu bali pia wasio Waislamu.
Habari ID: 3476452 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23